Marehemu Kelvin Mwalingo Mpangala, ambaye alipigwa risasi njia panda ya Uyole akiendesha pikipiki katika vurugu zilizotokea mwishoni mwa juma jijini Mbeya na kuokotwa na Bwana Asajile Lisyele ambaye ni Mwenyekiti wa Bodaboda eneo la Uyole na kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa, enzi za uhai wake.
Monday, November 14, 2011
ALIYEPIGWA RISASI WAKATI WA VURUGU JIJINI MBEYA AZIKWA
Labels:
www.mateja20.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment