Social Icons

Saturday, December 31, 2011

RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI SEFUE KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiingia katika ukumbi wakati wa hafla fupi ya kumuapisha Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue, aliyeapishwa na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Dar es Salaam leo.
Balozi Ombeni Yohana Sefue, akiwa ukumbini wakati akisubiri kuapishwa rasmi kushika madaraka ya Katibu Mkuu Kiongozi badala ya Phillemon Luhanjo, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika leo Ikulu Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phillemon Luhanjo (kushoto) akimkabidhi nyaraka za serikali maalum kwa kuapishiwa na Biblia, Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue, ili kuanza kuapishwa rasmi na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Dar es Salam leo.
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha rasmi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, kuwa Katibu Mkuu Kiongozi badala ya Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phillemon Luhanjo, aliyemaliza muda wake. Hafla hiyo ya kumuapisha Balozi Sefue, imefanyika leo Ikulu Dar es Salaam. Wa pili (kushoto) kwa Rais ni Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phllemon Luhanjo, akisimamia zoezi hilo.
Rais Jakaya Kikwete, akimkabidhi Nyaraka za Serikali, Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Ombeni Yohana Sefue, mara baada ya kumuapisha rasmi, leo Ikulu Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue, wakipiga picha ya pamoja baada ya hafla ya kuapishwa rasmi kwa katibu huyo leo Ikulu Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue na Balozi Kiongozi Mstaafu, Phillemon Luhanjo, wakizungumza jambo baada ya hafla ya kuapishwa rasmi kwa katibu huyo leo Ikulu Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete, Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue, wakipiga picha ya pamoja na Makatibu wakuu, baada ya hafla hiyo ya kumuapisha Katibu Mkuu Kiongozi iliyofanyika leo Ikulu Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue (kushoto) akifurahia jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phillemon Luhanjo, wakati wa hafla hiyo ya kuapishwa katibu Mkuu kiongozi Ikulu Dar es Salaam leo.
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Phillemon Luhanjo, akihojiwa na waandishi wa habari, mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya kumuapisha Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Yohana Sefue Ikulu Dr es Salaam leo.

RAIS KIKWETE ATOA ALIVYOTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MTANGAZAJI WA TBC MAREHEMU HALIMA MCHUKA

Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw Clement Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mtangazaji Halim Mchuka leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwwenda kuzikwa makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa.
Rais Jakaya kikwete akiwapa pole wafiwa
Rais Jakaya Kikwete na waombolezaji wakiombea mwili wa Halima Mchuka

Waomboleza wakiwa na nyuso za huzuni. Picha na Ikulu.

MAZISHI YA MTANGAZAJI WA TBC 1 HALIMA MCHUKA YALIVYOKUWA

Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania ,Clement Mshana akisoma wasifu wa marehemu katika Makaburi ya Msasani jijini jana mchana.
Waziri wa Habari, Vijana na Utamaduni Dk. Emmanuel Nchini akihutubia kwenye mazishi ya Halima, makaburini.

Ndugu wa karibu wa marehemu Halima akitoa shukrani baada ya mazishi.…

Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania ,Clement Mshana akisoma wasifu wa marehemu katika Makaburi ya Msasani jijini jana mchana.
Waziri wa Habari, Vijana na Utamaduni Dk. Emmanuel Nchini akihutubia kwenye mazishi ya Halima, makaburini.

Ndugu wa karibu wa marehemu Halima akitoa shukrani baada ya mazishi.


Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC) Abdalah Majura akiwa anaongea na wadau wa habari kuhusina na msiba huo.

Mtoto wa marehemu Halima ambaye hakufahamika mara moja jina lake akilia kwa uchungu mara baada ya mazishi hayo.

duwa ikisomwa

Waziri wa Habari, Dk. Emanuel Nchimbi akijiandaa kuondoka makaburini hapo.

ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1), Halima Mchuka amezikwa leo katika Makaburi ya Msasani Jijini Dar es Salaam.

Halima ambaye alifariki dunia usiku wa kuamkia jana kwa ugonjwa wa shinikizo la damu baada ya kuanguka ghafla akiwa kazini kisha akakimbizwa katika Hospitali ya Dar Group na akahamishiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi. Hata hivyo akafariki dunia.

Halima Tulimpenda sana lakini mwenyezi Mungu alimpenda zaidi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi AMINI.

Thursday, December 29, 2011

MTANGAZAJI WA TBC1, HALIMA MCHUKA AFARIKI DUNIA

MTANGAZAJI Bi. Halima Mchuka wa muda mrefu wa iliyokuwa Redio Tanzania Dar esSalaam RTD na baadae Shirika la Utangazaji Tanzania (SHIUTA) amefariki Dunia.
Taarifa zilizopatikana hivi punde zinadai kuwa Mtangazaji huyo ambaye alikuwa na kipaji kikubwa cha utangazaji amefariki Usiku huu wa leo tarehe 29-12-2011 saa 9.00alfajiri kutokana nakupatwa na stroke ya gafla .

“Alikuwa na tatizo hilo jana mchana mara baada ya kutangaza kipindi cha salaam cha TBC-Taifa na akazidiwa ndipo alipopelekwa Hospitali na sasa ndiyo amefariki dunia.”alibainisha mmoja wa watangazaji wa TBC ambaye alikuwa jirani na mtangazji huyu.

Halima Mchuka alijiunga na Radio Tanzania Dar es Salaam mwaka 1994 ambapo alifanya kazi katika idara ya Habari na idara ya mipango.

Wadau wengi wa RTD na baadae TBC-Taifa wanamkumbuka sana mama huyu wa watoto wawili kwakuwa mwanamke wa awali kuangaza mpira katika ukanda wetu huu wa Afrika Mashariki na kati.

“Unapotaja mpira wa miguu wakai huu huwezi kusahau kipindi cha michezo cha RTD cha saa mbili kasorobo na huyu dada Halima Mchuka.”alibainisha Idd Pazi mmojawapo wachezaji nguli wa Tanzania wa wakati huo.

Kwa hakika si wasikilizaji wa RTD na wanamichezo tu bali ata watu wa Karibu ambao waliwahi kufanya nae kazi tunamtazama kuwa ni mtu mpole mwenye huruma na kusaidia wenzake pale penye tatizo ambalo yeye anaweza kulitatua.

Mungu ailaze Roho ya BI Halima Mchuka pahala pema peponi Amina
TIGO YASHEHEREKEA SIKUKUKUU YA KRISTMASI MWANZA

Mwanamuziki wa kundi la Top Top Connection Madee akitumbuiza umati katika tamasha maalum la Tigo la kusherehekea sikukukuu za Christmas mjini Mwanza katika viwanja vya Furahisha.

Wednesday, December 28, 2011

THE DEAR DEAD LEADER: BODY OF KIM JONG IL PLACED IN GLASS COFFIN AS DICTATOR'S SON ARRIVES TO CLAIM HIS INHERITANCE

  • Son and successor leads respects in Kumsusan Memorial Palace, Pyongyang

  • North Korea in national period of mourning before state funeral on December 28
  • Military pledges support for Kim Jong Un, declaring him 'born of heaven'
  • But concerns are raised over transition of power to relatively unknown third son
  • U.S. calls for peaceful transition of power in reclusive nation
By Wil Longbottom

Last updated at 3:02 PM on 20th December 2011

The body of North Korean dictator Kim Jong Il has been laid in state in a glass coffin as weeping mourners filled public squares across the country.
State television showed still images of the 'dear leader's' body in the open coffin, surrounded by wreaths and covered with a red blanket.
Kim Jong Un - his third son and successor - paid his respects to his father along with top military and Workers' Party officials during a 'solemn ceremony'.
In state: The body of North Korean leader Kim Jong Il has been placed in a glass coffin in Kumsusan Memorial Palace, Pyongyang
In state: The body of North Korean leader Kim Jong Il has been placed in a glass coffin in Kumsusan Memorial Palace, Pyongyang

Respects: The 69-year-old is surrounded by floral wreaths and his medals and is covered in a red blanket
Respects: The 69-year-old is surrounded by floral wreaths and his medals and is covered in a red blanket
North Korea is in an 11-day period of official mourning, with flags flown at half-mast at all military units, factories, businesses, farms and public buildings.
The streets of the capital Pyongyang were quiet, but crowds of people gathered at landmarks to mourn Kim Jong Il who died suddenly on Saturday from a massive heart attack at the age of 69.

More...

  • U.S. senator says the world is better off without Kim Jong Il, North Korea's Dear Leader, who 'is joining Gaddafi, Bin Laden and Hitler in hell'
Kim Jong Il ruled North Korea for 17 years in a brutal and repressive dictatorship.
Under his regime's economic mismanagement, a terrible famine in the 1990s caused the death of millions from starvation and hardship.

He imprisoned thousands of political 'opponents' and there is no access to freedom of the press, the internet or health care in the country.
Ceremony: Kim Jong Il will have a state funeral on December 28 and will be laid to rest in the palace, where the body of his father is also on display
Ceremony: Kim Jong Il will have a state funeral on December 28 and will be laid to rest in the palace, where the body of his father is also on display
Tears: Kim Jong Un cries as he pays his respects to his father and former leader
Tears: Kim Jong Un cries as he pays his respects to his father and former leader

Successor: Kim Jong Un, heir to power in North Korea, pays his respects to his father
Successor: Kim Jong Un, heir to power in North Korea, pays his respects to his father

Duty: High level officials (L to R) Kim Phyong Hae, Thae Jong Su, Ju Kyu Chang and Kim Rak Hui - all members of the Workers' Party - weep as they pass their former leader's coffin
Duty: High level officials (L to R) Kim Phyong Hae, Thae Jong Su, Ju Kyu Chang and Kim Rak Hui - all members of the Workers' Party - weep as they pass their former leader's coffin

His body was lying in state in the Kumsusan Memorial Palace, a mausoleum where the embalmed body of his father - national founder Kim Il Sung - has been on display in a glass sarcophagus since his death in 1994.
A state funeral will be held there on December 28.
Ri Ho Il, a lecturer at the Korean Revolutionary History Museum, said: 'Our General is our people's benevolent father. He defended our people's happiness, carrying on his forced march night and day.'
Since Kim Jong Il's death, state media have stepped up their lavish praise of his son Kim Jong Un in an effort to strengthen a cult of personality around him similar to that of his father.
Family: Kim Jong Un glances at his father's body as he walks past the coffin in Pyongyang
Family: Kim Jong Un glances at his father's body as he walks past the coffin in Pyongyang

Hotseat: Kim Jong Un is expected to succeed his father after he was announced as his official heir last year
Hotseat: Kim Jong Un is expected to succeed his father after he was announced as his official heir last year

Unknown: Little is known about Kim Jong Il's third son, but he was 'unveiled' to the world media a year ago after his father suffered health problems in 2008
Unknown: Little is known about Kim Jong Il's third son, but he was 'unveiled' to the world media a year ago after his father suffered health problems in 2008

Allies: The successor must now forge ties in the North Korean army and Workers' Party
Allies: The successor must now forge ties in the North Korean army and Workers' Party
Honours: Medals belonging to the former North Korean despot were on display by his coffin
Honours: Medals belonging to the former North Korean despot were on display by his coffin

Tributes: Men prepare a floral arrangement outside the North Korean embassy in Beijing, China
Tributes: Men prepare a floral arrangement outside the North Korean embassy in Beijing, China

Grief: Workers at a branch of the North Korean consulate in Dandong, China, weep at the death of their 'dear leader'
Grief: Workers at a branch of the North Korean consulate in Dandong, China, weep at the death of their 'dear leader'
Although there have been no signs of unrest or discord in Pyongyang's sombre streets, the possibility of a power struggle in a country seeking nuclear weapons and known for its secrecy has heightened tensions in the region.
Officials said they will not invite foreign delegations and will allow no entertainment during the mourning period.
The Korean Central News Agency described Kim Jong Un as a 'great person born of heaven', a propaganda term only his father and grandfather Kim Il Sung had enjoyed.
Genuine? Mourners appear to cry as the see the body of leader Kim Jong Il in state
Genuine? Mourners appear to cry as the see the body of leader Kim Jong Il in state

Condolences: North Koreans gathered at landmarks in the capital to mourn the loss of their 'dear leader'
Condolences: North Koreans gathered at landmarks in the capital to mourn the loss of their 'dear leader'

Salute: North Korean soldiers gesture during a call of condolence in the capital
Salute: North Korean soldiers gesture during a call of condolence in the capital
Memorial: Mourners stand in front of a floral wreath in the palace
Memorial: Mourners stand in front of a floral wreath in the palace

Defiance: North Korean defectors chant slogans in Seoul after the death of Kim Jong Il
Defiance: North Korean defectors chant slogans in Seoul after the death of Kim Jong Il

Mourning: North Korean flags are at half-mast, with many also having black ribbons tied to them
Mourning: North Korean flags are at half-mast, with many also having black ribbons tied to them
The Rodong Sinmun, the newspaper of the ruling Workers' Party, added he was 'the spiritual pillar and the lighthouse of hope' for the people.
It described him as 'born of Mount Paektu' - one of Korea's most cherished sites and Kim Jong Il's official birthplace.
Yesterday, North Korea's military pledged to 'uphold the leadership of comrade Kim Jong Un' and called him a 'great successor'.
Despair: Thousands crowded to pay their respects and leave flowers at memorial sites in Pyongyang
Despair: Thousands crowded to pay their respects and leave flowers at memorial sites in Pyongyang

Memorial: Floral wreaths stand in front of a painting of Kim Jong Il in the capital
Memorial: Floral wreaths stand in front of a painting of Kim Jong Il in the capital
Protest: A man sprays paint over the North Korean flag during a demonstration in Seoul. There are concerns over the transition of power following Kim Jong Il's death
Protest: A man sprays paint over the North Korean flag during a demonstration in Seoul. There are concerns over the transition of power following Kim Jong Il's death
Kim Jong Il who died on December 17, 2011
Kim Jong Un, successor in North Korea
Dictator in training: Kim Jong Il was in power for 17 years as North Korea's 'dear leader'. Right, his third son Kim Jong Un was only unveiled as his successor a year ago

INTELLIGENCE FAILINGS

Kim Jong Il died from a heart attack at 8.30am North Korean time on Saturday - but officials in South Korea and the U.S. still did not know 48 hours later.
Intelligence services in both countries failed to pick up on the momentous event - a testament to the highly secretive regime in North Korea.
But it isn't the first time spooks have missed major developments in the country.
A massive uranium enrichment plant was not discovered for 18 months until an American nuclear scientist was taken to visit it in 2010 and North Korea also helped complete a nuclear reactor in Syria without intelligence finding out.
Concerns have been raised over the transition of power in the nuclear weapon-armed state, with little known of successor Kim Jong Un.
Michael J. Green, a former Asia adviser in the Bush administration, told the Washington Post: 'We have clear plans about what to do if North Korea attacks, but not if the North Korean regime unravels.
'Every time you do these scenarios, one of the first objectives is trying to find out what's going on inside North Korea.'
But the secretive nature of the regime means sensitive information is only shared with a small circle of high-up officials who will not reveal any details.