
Usiku wa kuamkia leo pale pande za Victoria, katika Ukumbi wa Estana, kulifanyika Sherehe ya kumuaga Zawadi Ezekiel, ambaye ni dada yake na muigizaji wa filamu nchini Aunt Ezekiel. Sherehe hiyo ilianza majira ya saa 12:00 jioni na kumalizika mishare ya saa 6:30 usiku.
Kwa mjibu wa wageni waliohudhuria sherehe hiyo walisema kuwa walifurahishwa na maandalizi ya kamati tendaji na kwamba waliburudika vilivyo na hakuna sehemu iliyopwaya hata kidogo.












0 comments:
Post a Comment