Chiby Dayo, ambaye amewahi kuwa kwenye Danger Zone ya shindano hilo zaidi ya mara nne sasa bila kutolewa, jana alifikwa na makubwa jukwaani wakati wa kurekodi kipidi cha shindano hilo, SORYY,kukufunulia hii kwa sasa siwezi kutokana na utaratibu wa uongozi wa shindano hilo, ila kwa kupata tukio zima ni vizuri ukafuatilia kipindi hicho Jumamosi hii mishale ya saa 3: 30 usiku ITV. SORRY KAMA NIMEKUKWAZA LEAVE ME ALONE!!!
Mshiriki wa shindano
Washiriki walioingia kwenye tano bora wakiwa katika pozi la pamoja muda mfupia baada ya kutajwa aliyetoka kwa wiki hii, huku Chiby Dayo akiwa amejiinamia chini.

Jaji mkuu wa shindano
Washiriki walioingia kwenye tano bora wakiwa katika pozi la pamoja muda mfupia baada ya kutajwa ataliyetoka kwa wiki hii
: Mshindi wa shindano la Tusker Project Fame, 2011 Peter Msechu (wa kwanza kushoto), akifuatilia mchakato huo na Mshindi mwenzake wa Project Fame Alpha (wa pili kulia), na marafiki zao.
Mshiriki wa BSS 2nd Chance 2011 Haji Ramadhan, akiwajibiki jukwaani hapo.
Waziri Salum, akiwajibika.
Bella Kombo, akitetea nafasi yake.
Beatrice William, naye alihudhulia kushuhudia zoezi
Washiriki waliofanikiwa kuingia kwenye tano Bora ni Chiby Dayo, Haji Ramadhan, Rogers Lucas, Waziri Salum na Bella Kombo.
Washiriki hao wanatarajiwa Septemba 24 mwaka huu ndani ya jiji la Mwanza kwaajili ya kufanya shoo ya utangulizi kabla ya siku ya fainali ya shindano







0 comments:
Post a Comment