Social Icons

Thursday, September 1, 2011

CHANTE MOORE, BARNABA NA LINAH W ALIVYOPAGAWISHA MOVENPICK HOTEL

Mwanamuziki kutoka pande za kwa Obama,Chante Moore, akiwapagawisha mashabiki wake katika onesho maalum lililoandaliwa na uongozi wa Chaice FM kwa ushirikiano wa Clouds FM ndani ya ukumbi wa Movie'n Pick usiku wa kuamkia leo.
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chanten Moore, atumbuiza jukwaani hapo na wanamuziki wake muda mfupi baada ya kupanda.
Mwanamuziki wa Bongo Falava nchini, Eliasi Barnaba wa THT akimwaga raha na shabiki yake Sarah.
Mtangazaji wa Clouds FM Dina Marios (kulia), akiwa kwenye pozi la pamoja na Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Mwasiti Almasi katika tamasha hilo.
Mtangazaji wa Choice FM Baby Kabaya, akimkaribisha Mwanamuziki Chante Moore jukwaani hapo.
Baadhi ya wadau mbalimbali wakiwa katika onesho hilo .
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa (SBL) Teddy Mapunda (kulia),akiwa na Nestor Mapunda na Allan Kalinga ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Afro Euro co Limited ya Uingerezawakishuhudia onesho hilo ndani ya ukumbi wa Movie n Pick jana.
Mashabiki waliojitokeza katika onesho hilo wakifuatilia kwa makini burudani hizo.

Picha/ Full shangwe blog

0 comments: