Social Icons

Friday, May 27, 2011

WASHINDI WA PROMOSHENI YA TUSKER MILIONI 500 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO


MKURUGENZI
Mauzo na Masoko wa Bia ya Tusker,Segun Macaulay (watatu kushoto)akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh. milioni 1, Mathias Martin, mkazi wa Yombo baada ya kujishindia katika promosheni ya Tusker Milioni 500 kwa mashabiki, inayochezeshwa na kampuni ya SBL kupitia bia ya Tusker ambayo itaendelea hadi mwezi July kwa watumiaji wa bia ya Tusker kujishindia zawadi mbalimbali za fedha. Wanaoshuhudia tukio hilo (kulia) ni John Warange na Rittah Mchaki meneja wa kinywaji cha Tusker (kushoto). Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika Chang'ombe katika kiwanda cha (SBL)jana.
Trophin Marcel, akikabidhiwa zawadi ya mfano wa hundi.




John Shirima, akikabidhia zawadi ya mfano wa hundi.


Baraka Simon, akikabidhiwa zawadi ya mfano wa hundi.

0 comments: