Social Icons

Friday, May 27, 2011

IDD AZZAN AMSHUKIA SHYROSE


Mbunge wa kinondoni Idd Azzan

Mbunge wa jimbo la Kinondoni Idd azzan, aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya kushindwa kuthibitisha kauli yake nae kaibuka kumlipua shyrose bhanji kuwa katika uchaguzi mkuu uliopita shrose alitoa sapoti kubwa sana kwa chama cha CHADEMA ila hakupewa adhabu.
Mbali na hayo Idd Azzan wiki iliyopita alipigwa zengwe na moja ya vigogo hao wa CCM kuwa eti ni pusha mzee wa mapouda..!
Siasa za kulipuana ndiyo umekuwa mtindo mpya wakukomoana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama cha mapinduzi(CCM).

0 comments: