Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wakati akitoka makao makuu ya wizara ya Sayansi na Teknolojia jana jijini Dar es Salaam mara baada ya ziara yake ya kikazi wizarani hapo ambapo alifanya mazungumzo na wafanyakazi na viongozi na kutoa maelekezo na miongozo ya kazi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia wananchi wakati alipowasili katika makao makuu ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia jana jijini Dar es Salaam ambapo aliongea na wafanyakazi wa wizara hiyo.
(Picha na Freddy Maro)
0 comments:
Post a Comment