Social Icons

Wednesday, January 26, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA RUAHA (University College),WAGOMA

Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo cha Ruco wakiwa katika mgomo leo wakishinikiza bodi ya mikopo kuwaingiza fedha zao za kujikimu kiasi cha shilingi 300,000 kama ilivyokuwa katika vyuo vya Mkwawa cha Iringa na UDOM cha Dodoma hivi karibuni.

0 comments: