Social Icons

Wednesday, January 26, 2011

TWANGA, WANAUME HALISI KUKAMUA SAUTI ZA BUSARA

Msanii Juma Nature akiwa na Kiongozi wa African Stars 'Twanga Pepeta' Lwiza Mbuttu mara tu baada ya mkutano wa waandishi wa habari na waandaji wa tamasha la Sauti Za Busara jijini Dar leo. Sir Nature atakuwepo Sauti za Busara kwa mara ya pili wakati Twanga watakuwa Zenji kwa mara ya kwanza kwenye tamasha hilo. Chini ni video ya Lwiza Mbuttu akiongelea mipango ya Twanga k.

0 comments: