Social Icons

Wednesday, January 26, 2011

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipeana mikono na na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda katika Ukumbi wa mikutano Ubungo Plaza alikoenda kufungua Semina elekezi ya siku 10 kwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akifunguwa Semina Elekezi ya siku 10 kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoanza leo katika ukumbi wa Hoteli ya Ubungo Plaza Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuagana na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kufunguwa Semina elekezi ya siku 10 kwa Wabunge hao katika ukumbi wa Hoteli ya Ubungo Plaza leo.

0 comments: