Social Icons

Friday, January 28, 2011

MWANAMUZIKI WA MSONDO AFARIKI DUNIA


Malik enzi za uhai wake.
Mwanamuziki wa Bendi ya Msondo Music, Hamis Malik maarufu kama Super Malik, leo asubuhi amefia Hospitali ya Anglikan iliyopo Buguruni Malapa jijini Dar baada ya kukimbizwa hapo alipopatwa na homa kali.



Malik (kulia) akiwajibika jukwaani na wanamuziki wenzake wa bendi hiyo.

0 comments: