Social Icons

Friday, January 28, 2011

REDSUN,JOH MAKINI,BELL 9 NA BEKA KUKAMUA USIKU WA VERSITY NITE NEW MAISHA CLUB

Msanii Swabri Mohamed (Redsun) kutoka nchini Kenya akifafanua jambo mapema leo asubuhi kuhusiana na shoo yao kabambe ya Versity Nite ambayo itawakutanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu itakayofanyika leo usiku ndani ya New Club Maisha,jijini Dar.Redsun ameahidi kufanya kamuzi kubwa kwenye shoo hiyo.
Msanii wa kizazi kipya Bakari Hassan (Beka Boy) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo asubuhi ambaye pia atashiriki kwenye shoo ya Versity Nite itakayofanyika usiku leo ndani ya New Club Maisha,kushoto kwake ni Msanii kutoka nchini Kenya,Swabri Mohamed (Redsun) akifurahia maelezo ya Beka Boy.ukiachilia wasanii hawa,wengine ni Joh Makini pamoja Belle 9 ambao kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wao hawakuweza kutoka katika mkutano huo na wanahabari.

0 comments: