Social Icons

Sunday, December 5, 2010

PATI YA MTV FUNIKA BOVU NEW MAISHA CLUB!!

Usiku wa kuamkia leo MTV ilifanya pati kwa ajili ya wasanii wa Afrika Mashariki wanaowania tuzo za MAMA 2010 (MTV Africa Music Awards 2010) zitakazofanyika nchini Nigeria baadae mwezi huu. Katika pati hiyo iliyofanyika Maisha Club, wasanii P-Unit kutoka Kenya, Radio and Weasel kutoka Uganda, Diamond kutoka Tanzania na wengine wengi walikuwepo. PICHANI ni P-Unit wakiwa na TID (wa pili kulia) na Diamond (mwisho kushoto), wakishoo luv!

Radio n Weasel katika pozi

wawakilishi wa MTV Tanzania Sven (kulia) na Amby

Madam Ritta (wa pili kulia) akiwa na Ali Kiba, Shaa na Master Jay

Profesa Jay akiwa na P-Unit

Meneja Masoko wa Airtel Tanzania, Kelvin Twissa (kati) akiwa na wasanii Marlaw (kulia) na Ali Kiba

wadau wa burudani wakijiachia

watangazaji wa Clouds FM B12 na DJ fetty (shoto)

Meneja Uhusiano wa Airtel, Mutta Muganyizi (kushoto aliyesimama) akiwa na designer wa nguo Ally Remtulla


CodeRed Dj's in action....!


Diamond na dansa wake


Weasel n Radio wakigawisha mashabiki


Diamond na dansa wake wakifanya vitu vyao

wasanii Shaa (kulia), Marlaw na DJ fetty

0 comments: