Social Icons

Monday, November 22, 2010

HIVI NDIVYO AIRTEL ILIVYOZINDULIWA

Dk. Jakaya Kikwete (katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa Airtel, na Viongozi wa Serikali katika Uzinduzi wa huo, uliofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Ambwene Yesaya 'AY' (kulia) akiwa na wadau wake katika uzinduzi wa Airtel.
Masanja wa Orijino Komedi (kulia), akisalimiana na Madam Litta.
Dah! bora nimekuona Mkurugenzi baaana siku zilikuwa nyingi...
Madam akitoka ukumbini hapo.
Hapa Madam alijaribu kuunda Swagger kiaina.
Wafanyakazi wa Airtel katika pozi.
Ali Kiba akikamua na mrembo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Airtel wakiwa kwenye Swagger tofauti.
Warembo waki...
Wafanyakazi wa Airtel...
Mambo hayo...
Beatrice Singano Mallya, akifurahia nyimbo za Ali Kiba.
Oya umecheki Ali anavyokamua eehee......
Paul Mashauri katika pozi.
Ali Kiba akimwaga burudani katikaUzinduzi huo.
Adam Mchomvu akijaribu kuunda Swagger katika uzinduzi huo.
Mafundi mitambo wakiwajibika.
Asha Baraka (kushoto), akibadirishana mawazo na Meneja wa Global Publishers, Abdalla Mrisho.
Ssebo naye alikuwepo.
Banana Zorro (kushoto), akisikilizia jambo kutoka kwa Abdalla Mrisho.
Madam Litta akisalimiana na mmoja wa wageni waliohudhuria uzinduzi huo.
Swagger kama hizi zilichukua nafasi pande hizo.
Beatrce wa Airtel (kushoto), na wageni wake.
Mambo hayo.
Ali Kiba alifurahia kukutana na DK. Kikwete.
Kiba alizidisha furaha kama hivi.
Kiba haamini macho yake baaaanaa kushikana mkono na DK. Kikwete, kwa mara ya kwanza.
AY akiwa na marafiki zake.
Kiba, akimsikiliza kwa makini DK. JK Kikwete.
Haaa! hata wewe ....
DK.Kikwete, akiagana na viongozi wa Airtel.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jorodan (kulia) akijimiminia kilaji na wenzake ukumbini hapo.
Meneja Uhusiano wa Airtel TZ Munganyizi Mutta, akijipatia mlo wa usiku na Maimartha Jesse.
Mkurugenzi wa Clouds TV Ruge (kushoto), akifuatilia mchakato huo.
Mustapha (kulia) akiwa na Paul Mashauri.
Madam Litta na wenzake wakipata msosi mahari hapo.

0 comments: