Na Richard Bukosi
WADAU wa mchezo wa mpira wa kikapu leo wamekusanyika Viwanja vya Leadres Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam. kushuhudia Clinic ya mchezo huo inayoendeshwa na mchezaji wa zamani wa timu ya mpira wa kikapu ya Miami ya nchini Marekani, Steven Smith.
Katika Clinic hiyo unafanyika mchujo wa kuwapata wachezaji wenye vipaji kwaajili ya kuendelezwa na kupelekwa nchini Marekani ambako mchezo huo umeshika chati.
0 comments:
Post a Comment