Social Icons

Thursday, August 26, 2010

MAMBO YA FASHION BAANA!!!!!

MREMBO anakwenda kwa jina la Regina Mponi, ni mmoja wa ma-Actor wa movie za kibongo hapa nchini, upande mwingine ni Manager Director wa C & R B0utique iliyopo Sinza Kumekucha jijini Dar es Salaam.

Regina katika Pozi.
Hapa kila jambo linawezekana.
Kama model vile!!!
Siyo hudhuni ila ni moja ya pozi zake!!!!
Mpango mzima uko hivi!!
Mambo ya kiofisi zaidi.
Hata za Club zipo!

1 comments:

Desy Ernest said...
This comment has been removed by the author.