Social Icons

Tuesday, July 13, 2010

MWALIMU APATA AIBU YA MWAKA MBELE YA WANAFUNZI WAKE!

Mwalimu Agnes (aliyekaa) akishushuliwa na mume wa Jamila akiwa shuleni tena mbele ya wanafunzi wake wa shule ya Msingi Mchangani iliyopo Mwananyamala, jijini Dar es salaam baada ya kudaiwa kumuibia mkoba shoga yake aliyemfuata nyumbani kwake kumuuzia...ilikuwa ni aibu ambayo walimu wenzake waliamua kumchangia sh 32,000 thamani ya mkoba huo ili kuepusha soo zaidi...mkasa kamili fuatilia kwenye gazeti la Ijumaa ya wiki hii hapa hapa mtandaoni..!

0 comments: