Social Icons

Tuesday, July 13, 2010

ANTI EZEKIEL AFIWA!

Mcheza filamu wa Bongo, Aunti Ezekiel, amefiwa na wifi yake aitwaye Habiba, ambaye alikuwa ni mke wa kaka yake, Mande Ezekiel. Mazishi yamefanyika jioni hii katika makaburi ya Mtoni Kijichi ambako mtandao huu ulikutana na msanii huyo akiwa na baadhi ya shoga zake wakitoka makaburini.

Anti akipewa pole na shoga yake, Fideline Iranga

0 comments: