UGANDA YATWAA KOMBE LA TUSKER CHALLENGE CUP 2011

Ilikuwa ni fainali ya kuvutia kwa timu zote mbili kutokana na kiwango kilichoonyeshwa katika dakika 90, timu hizo zilitoka suluhu ya magoli 2-2 ambapo dakika 30 ziliongezwa lakini hazikuzaa matunda kwa timu zote mbili, mpaka ilipofika wakati wa mikwaju ya penati, timu ya Uganda ilipata penati 4-3 dhidi ya Rwanda, hivyo Uganda kutawazwa mabingwa wapya wa kombe hilo.







0 comments:
Post a Comment