Social Icons

Saturday, December 31, 2011

RAIS KIKWETE ATOA ALIVYOTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MTANGAZAJI WA TBC MAREHEMU HALIMA MCHUKA

Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw Clement Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mtangazaji Halim Mchuka leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwwenda kuzikwa makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa.
Rais Jakaya kikwete akiwapa pole wafiwa
Rais Jakaya Kikwete na waombolezaji wakiombea mwili wa Halima Mchuka

Waomboleza wakiwa na nyuso za huzuni. Picha na Ikulu.

0 comments: