Social Icons

Sunday, November 27, 2011

VINEGA WAPAGAWISHA USTAWI

Wasanii wa kizazi kipya waliowahi kutamba zamani waliounda kundi la Vinega wakiongozwa na Mkurugenzi wa Deiwaka Entertainment, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ (pichani juu) usiku wa kuamkia leo wamefanya onesho lililohudhuriwa na maelfu ya watu katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam. Yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojiri kiwanjani hapo:.

...sehemu ya yomi iliyokuwepo

Mwekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, akiwapa hai, mashabiki kabla ya kuanza kuchana mistari.

Sister P akikamua.

...Zay B jukwaani

..Daz baba na makamuzi yake

Dj Sox wa Mabaga Fresh

Mkoloni akiwajibika

Mkoloni akiwajibika

Mr. Simple, ambaye pia ni Diwani kwa tiketi ya Chadema

...Kinadada wakifuatilia makamuzi

...Mashabiki wakiwa na mzuka

...Sugu anapoweka pembeni uheshimiwa na kukamata Mic


Dada wa kitasha akiserebuka baada ya kunogewa na bongo flava



0 comments: