Social Icons

Thursday, October 27, 2011

AIRTEL YAKABIDHI HUNDI YA MILIONI TATU SHIMIWIAfisa Mazingira wa Airtel Tanzania, Bwana Mkama Manyama (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya Shilingi Mililioni tatu kwa Katibu Mkuu wa Shimiwi Ramadhani Sululu,ikiwa ni kampeni ya Airtel katika dhamira ya kushirikiana kutunza mazingira kwa kuchangia na kushiriki zoezi la kupanda miti Mkoani Tanga, wanaoshuhudia kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Shimiwi Moshi Makuka na Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania Jane Matinde, makabidhiano hayo yamefanyika makao makuu ya Airtel Tanzania Morocco jijini Dar es Salaam.
Afisa Mazingira wa Airtel Tanzania Mkama Manyama, akiongea jambo kwenye makabidhiano hayo.
Katibu Mkuu wa Shimiwi Ramadhani Sululu (kulia), akiongea jambo mbele ya wanahabari hawapo pichani.
Bwana Sululu akitoa neno la pongezi kwa uongozi wa Airtel muda mfupi baada ya kupokea hundi hiyo.
... wakiwa katika makabidhiano hayo.

0 comments: