Social Icons

Saturday, August 27, 2011

AIRTEL YAZINDUA MAWASILIANO MKOANI MBEYA KATIKA VIJIJI VYA IBILILO, WATCO, IKUTI, LITOLA WILAYA YA RUNGWE TUKUYU

Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe Tukuyu, Moses Mwandete (katikati), akizindua mnara wa Airtel Kata ya Nkunga Ibililo Mbeya (kushotokwake) ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jacksoni Mmbando, akishuhudia zoezi hilo na Mwenyekiti wa kijiji hicho, Jackson Ambilikile (kushoto),pamoja na baadhi ya wananchi wa kikijiji hicho.


Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (katikati), akicheza ngoma ya asili na wanakijiji wa Ibililo, muda mfupi baada ya kuhitimisha uzinduzi wa minara ya mawasiliano ya mtandao wa airtel katika vijiji vya ibililo, Watco, Ikuti na Litola mkoani mbeya.


KAMPUNI ya simu za mikononi ya Airtel Tazania,mapema leo imezinduaminara minne ya simu, katika Kata ya Nkunga Ibililo WilayaniRungwe Tukuyu Mbeyaminara hiyo imezinduliwa katika vijiji vyaIbililo, Watco, Ikuti na Itola mkoani hapo,Minara hiyo ilizinduliwa nakatibuTawala wa Wilaya ya Rungwe Bw. Moses Mwandete na Mwenyekitiwa Kijiji cha Ibililo, Bw. Jackson Ambilikile chini ya usimamizi waMeneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Jackson Mmbando na Meneja wakanda ya kusini Jonas Mbaga.

0 comments: