




Wageni waalikwa wakitupia vyuku pale kati


JIONI ya leo Mateja20 nilikaribishwa pande za Mwananyamala Kisiwani kwenye bonge la futari katika familia ya Papaa Yusuphed. Mpango mzima ulihudhuriwa na watu kibao ikiwa ni spesho kwa ajili dua ya marehemu wote wa familia hiyo ambapo zoezi hilo litaendelea hadi mfungo utakapomalizika. Mwaliko huo ulikuja kutoka kwa Mamaa Yusuphed ambaye ni dada wa Shakoor Jongo 'Zung Fedha'. Watu wote mnakaribishwa katika familia hiyo kila siku muda wa kuturu.
0 comments:
Post a Comment