Social Icons

Saturday, May 21, 2011

SHEIKH YAHYA KUZIKWA JIONI HII

Maziko ya Sheikh Yahya aliyefariki dunia jana, yanatarajiwa kufanyika jioni hii katika makaburi ya Tambaza, yaliyoko jirani na Muhimbili Primary school jijini Dar es salaam na Makamu wa Rais, Dk. Ghalib Bilal (pichani kushoto) anatarajiwa kumuwakilisha Rais Kikwete katika msiba huo. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck said.


Mtoto wa marehemu, Hassan Yahya Hussein (wa pili kushoto), akiwa na viongozi wa serikali msibani leo mchana


Mchungaji Anthony Lusekelo ' Mzee wa Upako' akitoa rambirambi msibani mapema leo.


...sehemu ya waombolezaji upande wa kina mama


...sehemu ya waombolezaji upande wa kina baba


.aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Omar Mahita naye ni miongoni mwa viongozi mbalimbali waliohudhuria mazishi ya sheikh yahya nyumbani kwa marehemu Mwembe Chai, jijini Dar es salaam.

0 comments: