Social Icons

Saturday, May 28, 2011

MREMBO 'UNIVERSE' APATIKANA

Baadhi ya washiriki wakicheza kabla ya kuanza kwa shindano hilo.

Usiku wa leo, Jumamosi kulifanyika Shindano la kutafuta Mrembo ‘Miss Universe’ lililochukua nafasi ndani ya Hoteli ya Golden Tulip iliopo Masaki jijini Dar es Salaam.


Mshindi wa kwanza Nelly Kamwelu (katikati) akiwa na mshindi wa pili Neema Kilango (kushoto) na mshindi wa tatu Yakoba Asenga mara baada ya kutangazwa matokeo.


Warembo ambao walifanikiwa kuingia katika tano bora wakipozi ili wapate picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa kuingia katika nafasi hiyo.


Warembo waliofanikiwa kuingia katika tatu bora wakiwa wameshikilia mataji ya maua.


Mwanamuziki wa kizazi kipya Ambwene Yesaya ‘AY’ akipozi na mshindi Nelly Kamwelu.

0 comments: