Social Icons

Saturday, April 23, 2011

MNENGUAJI

Mnenguaji wa bendi kongwe ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma, Kinacho Mpendo a.k.a 'Mama Nzawisa' akimpagawisha mwanamukizi wa bendi hiyo Romalio Mng’ande kwenye onesho lao lililofanyika jana ndani ya Ukumbi wa Savoy mkoani Morogoro.

BENDI hiyo iko kwenye ziara katika mikoa mbalimbali ya Tanzania ikiwa na lengo la kutambulisha nyimbo zao mpya kwa mashabiki wao.


Jana walianza ziara hiyo mkoani hapa na leo watakuwa mjini lringa, moja ya nyimbo zao mpya zilizowapagawisha mashabi waliofurika katika ukumbi huo ni ule wa Kikombe cha Babu wa Loliondo.

0 comments: