KAMERA yetu mchana huu imewanasa mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakiwa na bidhaa walizowapora wafanyabiashara ndogondogo waliokiuka agizo la kutofanya biashara kando ya barabara za mji huo.
Picha zifuatazo hapa chini ni baadhi ya akina mama waliokuwa wanakimbia kunusuru bidhaa zao zisichukuliwe na Mgambo hao:
Thursday, February 3, 2011
MGAMBO KAZINI
Labels:
www.mateja20.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment