Social Icons

Friday, January 28, 2011

HAYA NDO' MALEZI BORA YA BABA NA MAMA

USTADHI mmoja (pichani) jana mchana analinaswa na kamera yetu mjini Morogoro akiwa amembeba mtoto wake mgongoni na upande wa kitenge akiwa anaendesha baiskeli kuelekea sehemu ambayo haikufahamika.

Hii inaonyesha jinsi jukumu la kutunza mtoto linavyotakiwa kuwa la wazazi wote – baba na mama.



0 comments: