Social Icons

Friday, January 28, 2011

2O% ATUNUKIWA GITAA NA PRODUCER WAKE

MWANDAAJI wa muziki, John Water (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Gitaa aina ya Aucustic lenye thamani ya Sh. 200, 000, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abas Hamis ’20%, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa msanii huyo anayeendelea kufanya vizuri katika anga za muziki wa Bongo Flava. Makabidhiano hayo yalifanyika jana kwenye Duka la City Music Sound lililopo Mtaa wa Uhuru Dar es Salaam.

Msanii huyo 20% akijaribu kupiga gitaa lake baada ya kukabidhiwa.

Picha: Sufianimafoto blog.

0 comments: