Social Icons

Sunday, November 14, 2010

DIAMOND SWAGGER ZA MBELE!!!


Diamond akionesha msosi aliokwisha utengeneza..

..kafanya kila kitu mpaka mambo ya kubeba taka....

... akiwa kweye maandalizi

...finyango li tayari kwa kuliwa...kama mbagala vile!

Wadau wa Urban Pulse kutoka kushoto ni Linda, Hunga, Diamondo Na Maboxi wa Vincent Alan na Gardol

Msanii wa kizazi kipya Diamond a.k.a Mzee wa Mbagala, ambaye yuko nchini Uingereza kwa ziara ya kimuziki, mapema wiki hii alijitolea kupiga 'dei waka' kwenye mgahawa wa Vincent (Vincent Restaurant) iliyopo Reading (mji wa kusoma) nchini humo kwa ajili ya kusaidia kuchangia na kupromote Urban Tour ambayo inachangisha fedha kwa ajili ya kampeni za kugiga vita ugonjwa wa Malaria. Ijumaa hii, msanii huyo,nne usiku, kiingilio ni £10.00 kabla ya saa sita usiku. kazi kwenu wa Bongo wa UK.

0 comments: