Social Icons

Tuesday, August 31, 2010

SHEILA OUT!!

BAADA ya Jumamosi kujirusha vilivyo kwa magoma ya ukweli yaliyokuwa yakisababishwa na Dj Steve B kutoka Tanzania, mwakilishi wa Kenya katika Mjengo wa BBA ‘All Stars’, Sheila Kwamboka wa Kenya, Jumapili naye alioneshwa mlango wa kutokea.
Sheila na Munya walikuwa wakipigiwa kura ya nani abaki mjengoni ambapo kwa bahati mbaya kura za Sheila zilishindwa kutosha na kujikuta akimwaga chozi kabla ya kwenda kuungana na wenzake katika Jumba la Big Brother Barn.
Sheila ambaye amechafuka kwa kuhusishwa na soo la usagaji mjengoni humo akiwa na Merly, sasa atakuwa ‘vere klozi’ na Tatiana Durao wa Angola ambaye naye ana ‘elementi’ za usagaji.

2 comments:

Anonymous said...

Write more, thats all I have to say. Literally, it
seems as though you relied on the video to make your point.
You obviously know what youre talking about, why throw away your
intelligence on just posting videos to your site when you could be giving us something enlightening to read?


Feel free to surf to my blog ... pirater un Compte facebook

Anonymous said...

Hello, I want to subscribe for this blog to obtain most up-to-date updates, so where can
i do it please help.

My site :: Psn Code Generator