Social Icons

Wednesday, August 4, 2010

Raaaaaaa!!! Ilivyochengua CCM Kirumba Mwanza

Jana Jumapili ilikuwa ni siku ya wakazi wa Mwanza kujipangusa Raaaaaah na Fiesta 2010 kwa kushuhudia shoo kali kutoka kwa wasanii wakali wa muziki wa Bongo Flava na Hip Hop. Pichani ni kinara wa Hip Hop from Rock City, Fid Q akipelekesha mashabiki wake.

Diamond akiwaimbisha wakazi wa Mwanza wimbo wake wa Mbagala ambao umefanya vyema kwa kiasi kikubwa.


Anaitwa Bell 9,kichwa kingine katika anga ya muziki wa bongofleva kikitokea mkoani Moro,akiwarusha washabiki na wapenzi wake waliofurika ndani ya uwanja wa ccm kirumba kupitia wimbo wake wa Masogange na nyinginezo jioni ya jana.

Brazameni Dully Sykes a.k.a Mr Misifa kaiwarusha mashabiki wake.

Rrrhhaaaa zikizidi mpango mzima huwa kama hivi,chini juu,juu chiini aahh freeshh.!


0 comments: