Social Icons

Tuesday, August 31, 2010

NANI KUWAKILISHA TUZO ZA MTV?

WAKATI event ya utoaji wa Tuzo za MTV Africa Music Awards (MAMA) ikitarajiwa kufanyika Desemba 11, mwaka huu Lagos Nigeria, wabongo bado wana shauku kubwa ya kumfahamu msanii atakayenyanyua Bendera ya TZ pande hizo.
Mwaka jana, Ambwene Yessaya ‘A.Y’ na Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliiwakilisha Bongo vyema, mwaka huu bado mwakilishi hajatajwa.
Tuzo hizo zilizodhaminiwa na MTV kwa kushirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel (Zain kwa Tanzania), zitachukua nafasi katika Ukumbi wa EKO EXPO Hall, jijini Lagos, hii ikiwa ni mara ya tatu kwa tuzo hizo kufanyika barani Afrika.
Kwa mara ya kwanza Tuzo za MAMA zilizinduliwa Velodrome, Abuja nchini Nigeria mwaka 2008, na mwaka 2009 zikafanyikia Nairobi, Kenya. Wasanii waliowahi kunyakua tuzo hizo

0 comments: