Social Icons

Monday, August 30, 2010

BURUDANI MIX

Align CenterLulu Mathias akiwa kwenye pozi muda mfupi baada ya kutoka kuangalia burudani ya Twanga Pepeta ndani ya Ukumbi wa Mango Garden Kinondoni jijini Dar, hivi karibuni.
Rapa tegemezi wa African Stars International, 'Fagason' akijaribu kucheza staili ya kubebwa mgogongoni na mmoja wa mashabiki wake.
Mnenguaji wa Bendi ya FM Academia (Alia) akiawajibika jukwaani ndani ya Ukumbi wa Mbalamwezi Beach usiku wa kuamkia leo.
Alia na sitaili ya 'Bodaboda gooo'
Huyu naye ni mnenguaji wa Fm Academia 'Wazee wa Ngwasuma' akitetea kazi yake.

0 comments: