
Lulu Mathias akiwa kwenye pozi muda mfupi baada ya kutoka kuangalia burudani ya
Twanga Pepeta ndani ya Ukumbi wa
Mango Garden Kinondoni jijini Dar, hivi karibuni.

Rapa tegemezi wa
African Stars International, 'Fagason' akijaribu kucheza staili ya kubebwa mgogongoni na mmoja wa mashabiki wake.
Mnenguaji wa Bendi ya FM Academia (Alia) akiawajibika jukwaani ndani ya Ukumbi wa
Mbalamwezi Beach usiku wa kuamkia leo.

Alia na sitaili ya 'Bodaboda gooo'

Huyu naye ni mnenguaji wa Fm Academia
'Wazee wa Ngwasuma' akitetea kazi yake.
0 comments:
Post a Comment