Social Icons

Saturday, August 28, 2010

B.BENDI NA SWAGGER ZA MASHABIKI!!!

MZEE Zahir Ally Zorro akiwajibika jukwaani usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Thai Villager Masaki jijini Dar, ambapo bendi hiyo ilikuwa ikifanya makamuzi yake

Mmoja wa waimbaji wa bendi hiyo akifanya makamuzi.
Baadhi ya Mashabiki wa bendi hiyo wakiwa katika pozi.
Haa! mambo haya yanapatikana katika onesho la B.bendi baana!!!
Shumileta akiwa kwenye pozi na Zamda ndani ya Thai Village Masaki jijini Dar.
















0 comments: