Social Icons

Thursday, July 15, 2010

VITUKO VYA CHARLES BABA!

Charles Baba, mwimbaji mahiri wa Twanga Pepeta anasema anahusudu sana Tatoo na ndiyo maana mwilini mwake zimejaa kibao. moja ya tatoo hizo ni hii hapa...mwenyewe anadai ni sura ya YESU...is it?

taoo la mkono mzima

siyo kama anauza viatu vya mitumba, la hasha, hivi ni sehemu ya lundo la viatu alivyonavyo ambalo alikutwa nalo kwenye gari lake akidai anapeleka kwa SHOE SHINER...anadai kila wiki hununua kiatu kipya na kuacha cha zamani...sasa amevikumbuka!!


0 comments: