Social Icons

Monday, July 19, 2010

SHUMILETA ASHEREKEA KI STAILI BIRTH DAY YAKE!

jana ilikuwa ni siku ya kuzaliwa staa wa kike wa filamu za Bongo maarufu kwa jina la SHUMILETA...aliandaa kijisherehe chake pale Lamada Hotels & Apartments Ilala ambako alikusanya mashoga zake na kujilia mkeki aliokuwa amewaandalia....huku akijivunia kufikisha 27 yrs duniani..!

mkeki huo....


akimlisha shoga yake Jaque

...akimlisha shoga yake Rungi

....na yeye akijisevia....ammmh!!!

....mmmmh tamuu!!!

...akiwa na washikaji zake

..pozi la Jaque baada ya kula mkeki

waswahili husema penye mtama njiwa hawakosekani.....Victor wa Buguruni huyo!!!!


0 comments: