Social Icons

Friday, July 2, 2010

HAA! AISHA MADINDA UNAMCHEKA INTERNET!

Mnenguaji namba moja ndani ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Aisha Madinda hivi juzi kati alinaswa na kamera yetu katika viwanja vya Leaders Club akichekelea baada ya kupiga picha ya pozi na Lilian Tungaraza ‘Lilian Internet’

0 comments: