Social Icons

Tuesday, May 18, 2010

TINNO NA GRACE YA MVINYO!


Msanii wa Filam Bongo Hissan Muya ‘Tinno’ Kama kawaida yake huwa hatii uzembe wala kurudi nyuma hasa anapokuwa katika sherehe katika suala zima la kutafuna bata mkononi mwake kashikilia Grace me naona kama soda hivi! Lakini kwa upande wake anasema duh! bro’ sikamatilii mkononi mwangu grace bila mvinyo! Ebwana hii ni staili yake kama vipi muacheni aburudike ki mpango wake.

0 comments: