Social Icons

Sunday, January 1, 2012

PROFESA KAIJAGE ASHEHEREKEA
KUTIMIZA MIAKA 70

Theresa pamoja na wajukuu wao wakisaidiana kukata keki ya kutimiza miaka 70.

Mmoja ya wajukuu aliyewawakilisha wenzake akimlisha keki babu yake.
Mmoja ya wajukuu aliyewawakilisha wenzake akimlisha keki bibi yake.
Profesa Fredy Kaijage akiwakaribisha nyumbani kwake Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na mkewe na mwanae ambao nao walihudhuria sherehe ya kuadhimisha miaka 70.

Wageni wakijaribu kubadilshana mawazo.
...pongezi zilikuwa zikimiminika kwa Profesa Fredy Kaijage kutoka kwa marafiki.
...Mwanangu hujambo???? Mbona sikuhizi hauji tena nyumbani kusalimia. Binti anajibu; baba mambo yamekuwa mengi, nisamehe bure.
Hapa napo palinoga sana...Maprofesa walikutana kila mmoja alikuwa na lake...basi raha tu.. Mjadala huo ulikuwa ukiongozwa na Profesa Samwel Wangwe (mwenye miwani).
Profesa Fredy Kaijage akiongoza wageni wake kupakua chakula.
Profesa Fredy Kaijage, akiongeza nguvu kwa kupata chakula.
Mijadala ya hapa na pale iliendelea
...Dah! kumbe ndizi nimezipita...sasa pakua nyingi ili tukale wote. Hahahahahaha ndivyo alivyokuwa nakazia
... Profesa Samwel Wangwe (kushoto) nae hakuwa nyuma
Mtoto mkuwa wa Profesa Kaijage akiwa pamoja na watoto wake na wa kaka zake
Furaha zilitawala
Wajukuu wa Profesa Kaijage hawakuwa nyuma kwenye suala la chakula
Profesa Kaijage (wa kwanza kulia), Mkwe Theresa (wa kwanza kushoto) na mwanae wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt. Hussein Mwinyi akiwa na mkewe.
Profesa Kaijage na familia yake wakiwa katika pichaya pamoja na Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt. Hussein Mwinyi na mkewe.
...Wala hata Ruge Mutahaba hakukosa nae





Muda wa kuserebuka uliwadiaaaaaaaaaaa

Wajukuu wakitoa salamu zao kwa babu yao
Wakitoa zawadi yao
Profesa Samwel Wangwe akitoa salamu zake.
Familia pamoja
Baba na mwana wakijiachia mara baada ya kuupokea mwaka mpya 2012
pongezi ziliendelea
Kumbukumbu ya mwaka 2012

0 comments: