Social Icons

Wednesday, January 4, 2012

MBUNGE WA WAWI (CAFU), HAMAD RASHID ATIMLIWA KAZI

Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed.

Habari zilizotufikia hivi pundu ni kwamba Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed, na wenzake watatu akiwemo Shoka Hamis wamefukuzwa katika uongozi wa CUF.

0 comments: