Social Icons

Sunday, November 27, 2011

CHADEMA WAKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU

Baadhi ya viongozi wa Chadema wakiingia Ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.

Mhe. Rais Kiketwe akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mboe mara baada ya kuingia Ikulu.

Mhe. William Lukuvi akisalimiana na Mhe. Tundu Lissu.

Mhe. Mbowe akiongea na Mhe. Rais.

...safu ya viongozi wa Chadema ikiongea na Rais.

Mhe. Rais akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chadema mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mapema leo.



0 comments: