Social Icons

Friday, October 28, 2011

AUNT EZEKIEL ASHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE NA WATOTO YATIMA

Aunty akiwakaribisha wageni waalikwa.

Baadhi ya watoto yatima wanaolelewa katika kituo hicho wakiwa wametulia.

SHEREHE ya siku ya kuzaliwa muigizaji wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel iliyofanyika Oktoba 27, mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club ilifana vilivyo.

Katika sherehe hiyo, Aunty alikula chakula cha mchana na watoto yatima 65 wanaolelewa kwenye Kituo cha Umrah Orphanage kilichopo Magomeni Mikumi jijini Dar.



Moja ya keki zilizokuwepo kwenye sherehe hiyo.


Aunty akiwasha mshumaa.


Aunty akisaidia kufungua shampeni na mmoja wa watoto hao.


Mwanamitindo ambaye pia anapiga mzigo katika shirika la Bandari nchini ‘ TPA’ naye akifungua shampeni.

Mtoto akimmiminia mwenzake shampeni.


Baadhi ya mastaa waliokuwepo viwanjani hapo wakicheza wimbo wa Moyo Wangu ulioimbwa na mwanamuziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’. Wimbo huo uliombwa na Wema Sepetu.


Mtangazaji wa Kipindi cha Take One kinachorushwa katika Runinga ya Clouds, Zamaradi Mketema akiwa katika sura mpya baada ya kuwa mjamzito.


Aunty, Sinta wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wanaolelewa kituoni hapo.



1 comments:

Anonymous said...

zamaradi ana mimba??????????? jamani nani tena huyo kafanya mautundu????????