Frank (kushoto) na Ben wakipakia mashati kwa ajili ya Wahanga wa Gongo la Mboto.
|
Frank, Sheila, Tina na Ben wakifunga utepe kwenye mizigo tayari kusafirishwa kuelekea Tanzania.
Mungu awabariki Watanzania,
Mungu Ibariki Tanzania.
Asanteni,
TIMU YA SAIDIA GONGO LA MBOTO-UK
0 comments:
Post a Comment