Social Icons

Friday, January 28, 2011

MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA ISRAEL NAIROBI

Waziri wa Ujenzi Dr. John Magufuli (kulia) akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya (European Union) Tim CLARKE wakati alipomtembelea ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar es Salaam ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya miradi ya barabara inayogharamiwa na Jumuiya ya Ulaya. (EU) hususani maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Mandela.Picha na Hisani ya Kitengo cha Habari na Mawasiliano- Wizara ya UJENZI.
Waziri wa Ujenzi Dr. John Magufuli akiongea na Balozi wa Israel kwa nchi za Afrika Mashariki ambae ofisi yake ipo Nairobi Kenya Jacob Keidar hivi karibuni alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar Es Salaam.Mazungumzo hayo hususani Israel kujenga nyumba nafuu nchini Tanzania kwa gharama nafuu kwa ajili ya wafanyakazi Serikalini pamoja na Taasisisi.

0 comments: