
BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' inatarajiwa kufanya onyesho lake la mkesha wa mwaka mpya katiika ukumbi wa Kijiji Cha Makumbusho, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mateja20 Meneja wa bendi hiyo Kelvin Mkinga alisema kuwa kama jinsi walivyofunika katika onyesho lao la X-Mas ndivyo itakavyokuwa siku ya mkesha huo ndani ya kijiji cha Makumbusho.
Mkinga aliongeza kuwa kiingilio cha onesho hilo kitakuwa sh. elfu kumi tu (10,000), kwa kila kichwa.
0 comments:
Post a Comment