





































LILE shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) linazidi kunoga na kukonga mioyo ya Watanzania wanaofuatilia zoezi hilo kwa makini.
Mateja20 usiku wa kuamkia leo ilibahatika kufingia katika ukumbi wa Water Front Posta jijini Dar es Salaam na kubahatika kushuhudia uandaaji wa kipindi hicho ambapo ilipata laivu baadhi ya matukio ya mchakato huo.
Mateja20 usiku wa kuamkia leo ilibahatika kufingia katika ukumbi wa Water Front Posta jijini Dar es Salaam na kubahatika kushuhudia uandaaji wa kipindi hicho ambapo ilipata laivu baadhi ya matukio ya mchakato huo.
0 comments:
Post a Comment