Social Icons

Friday, August 13, 2010

WADAU WA MATEJA20 KATIKA POZI

MR & Miss Jamssesion ndani ya pozi.
Mtangazaji wa kituo cha redio & tv Clouds 'Tz' Zamarad Mtetema katika pozi
Zamda Salim(kushoto)akiwa na rafiki yake kipenzi ambaye jina lake harikufahamika mara moja
Kiongo mchezeshaji wa timu ya mpira wa miguu Simba SC Mohamed Banka (kushoto) akiwa kwenyepozi makini na mtangazaji wa kipindi cha Ben& Mai kinachorushwa TBC1 Beny Kinyaiya.



0 comments: